Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:10 - Swahili Revised Union Version

10 Yuda Iskarioti, yule mmoja katika wale Kumi na Wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani, apate kumsaliti kwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa makuhani wakuu ili kumsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Isa kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Isa kwao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Yuda Iskarioti, yule mmoja katika wale Kumi na Wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani, apate kumsaliti kwao.

Tazama sura Nakili




Marko 14:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


Nao waliposikia walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. Akatafuta njia ya kumsaliti wakati wa kufaa.


na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Basi huyo, akiisha kulipokea lile tonge, akatoka mara hiyo. Nako kulikuwa ni usiku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo