Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:27 - Swahili Revised Union Version

27 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Basi, yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Nyinyi mmekosea sana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yeye si Mungu wa wafu, bali ni Mungu wa walio hai. Kwa hiyo mmekosea kabisa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

27 Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.

Tazama sura Nakili




Marko 12:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, acha kusikia mafundisho, Ukitaka tu kuyaasi maneno ya maarifa.


Yesu akajibu, akawaambia, Mnapotea, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu.


Mimi ni Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu si Mungu wa wafu, bali wa walio hai.


Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?


Naye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai; kwa maana kwake wote wanaishi.


Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.


(kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba wa mataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.


Kwa hiyo nilichukizwa na kizazi hiki, Nikasema, Sikuzote ni watu waliopotoka mioyo hawa; Hawakuzijua njia zangu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo