Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 11:16 - Swahili Revised Union Version

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kupitia katika hekalu akiwa amebeba kitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hakumruhusu mtu yeyote kupitia hekaluni akichukua kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kuchukua bidhaa kupitia ukumbi wa Hekalu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 wala hakumruhusu mtu yeyote kupitia katika hekalu akiwa amebeba kitu.

Tazama sura Nakili




Marko 11:16
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yerusalemu, naye akaingia ndani ya hekalu, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza na kununua ndani ya hekalu, akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao wauzao njiwa;


Akafundisha, akasema, Je! Haikuandikwa, Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote? Bali ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo