Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:36 - Swahili Revised Union Version

36 Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Yesu akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Naye akawaambia, “Je, mwataka niwafanyie jambo gani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Akawaambia, Mwataka niwafanyie nini?

Tazama sura Nakili




Marko 10:36
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, wakamwendea, wakamwambia, Mwalimu, twataka utufanyie lolote tutakalokuomba.


Wakamwambia, Utujalie sisi tuketi, mmoja mkono wako wa kulia, na mmoja mkono wako wa kushoto, katika utukufu wako.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyie nini? Yule kipofu akamwambia, Mwalimu wangu, nataka nipate kuona.


Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lolote mtakalo nanyi mtatendewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo