Marko 10:18 - Swahili Revised Union Version18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu. Tazama sura |