Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:18 - Swahili Revised Union Version

18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Isa akamwambia, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Yesu akamwambia, Kwa nini kuniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, ndiye Mungu.

Tazama sura Nakili




Marko 10:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe U mwema na mtenda mema, Unifundishe amri zako.


BWANA ni mwema kwa watu wote, Na rehema zake ziko juu ya vyote alivyoumba.


Kwa maana Wewe, Bwana, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao.


Akamwambia, Kwa nini uniulize kuhusu wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.


Alipokuwa akitoka kwenda njiani, mtu mmoja akaja mbio, akampigia magoti, akamwuliza, Mwalimu mwema, nifanye nini nipate kuurithi uzima wa milele?


Wazijua amri, Usiue, Usizini, Usiibe, Usishuhudie uongo, Usidanganye, Waheshimu baba yako na mama yako.


Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu.


Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema, la! Hata mmoja.


Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.


Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo, naye akaaye katika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na Mungu hukaa ndani yake.


Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.


Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA; Kwa maana hakuna yeyote ila wewe, Wala hakuna mwamba kama Mungu wetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo