Malaki 3:4 - Swahili Revised Union Version4 Wakati ule ndipo dhabihu za Yuda na Yerusalemu zitakapopendeza mbele za BWANA, kama katika siku za kale, na kama katika miaka ya zamani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Hivyo, tambiko za watu wa Yuda na wa Yerusalemu zitampendeza Mwenyezi-Mungu kama za watu wa kale; kama katika miaka ya zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Hivyo, tambiko za watu wa Yuda na wa Yerusalemu zitampendeza Mwenyezi-Mungu kama za watu wa kale; kama katika miaka ya zamani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Hivyo, tambiko za watu wa Yuda na wa Yerusalemu zitampendeza Mwenyezi-Mungu kama za watu wa kale; kama katika miaka ya zamani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 nazo sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika kwa Mwenyezi Mungu, kama katika siku zilizopita, kama katika miaka ya zamani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 nazo sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika kwa bwana, kama katika siku zilizopita, kama katika miaka ya zamani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Wakati ule ndipo dhabihu za Yuda na Yerusalemu zitakapopendeza mbele za BWANA, kama katika siku za kale, na kama katika miaka ya zamani. Tazama sura |