Malaki 2:12 - Swahili Revised Union Version12 BWANA atamtenga mtu atendaye hayo, yeye aliye macho, na yeye ajibuye, atamtenga na hema za Yakobo, pia atamtenga yeye amtoleaye BWANA wa majeshi dhabihu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mwenyezi-Mungu na awaondolee mbali watu wanaofanya mambo hayo kutoka miongoni mwa wazawa wa Yakobo. Na kamwe wasishiriki katika kutoa ushuhuda na kuleta tambiko mbele ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mwenyezi-Mungu na awaondolee mbali watu wanaofanya mambo hayo kutoka miongoni mwa wazawa wa Yakobo. Na kamwe wasishiriki katika kutoa ushuhuda na kuleta tambiko mbele ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mwenyezi-Mungu na awaondolee mbali watu wanaofanya mambo hayo kutoka miongoni mwa wazawa wa Yakobo. Na kamwe wasishiriki katika kutoa ushuhuda na kuleta tambiko mbele ya Mwenyezi-Mungu wa majeshi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, Mwenyezi Mungu na amkatilie mbali kutoka mahema ya Yakobo, hata kama huwa anamletea Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni sadaka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, bwana na amkatilie mbali kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa anamletea bwana Mwenye Nguvu Zote sadaka. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 BWANA atamtenga mtu atendaye hayo, yeye aliye macho, na yeye ajibuye, atamtenga na hema za Yakobo, pia atamtenga yeye amtoleaye BWANA wa majeshi dhabihu. Tazama sura |
Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu; na yeye atoaye dhabihu ya mwana-kondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe; na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu; naam, wamezichagua njia zao wenyewe, na nafsi zao zafurahia machukizo yao.