Malaki 1:5 - Swahili Revised Union Version5 Na macho yenu ninyi yataona, nanyi mtasema, BWANA ndiye mkuu hata katika nje ya mipaka ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Nanyi mtakapoyaona hayo kwa macho yenu, mtatambua na kusema: ‘Ukuu wa Mwenyezi-Mungu wafika hata nje ya mipaka ya nchi ya Israeli.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Nanyi mtakapoyaona hayo kwa macho yenu, mtatambua na kusema: ‘Ukuu wa Mwenyezi-Mungu wafika hata nje ya mipaka ya nchi ya Israeli.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Nanyi mtakapoyaona hayo kwa macho yenu, mtatambua na kusema: ‘Ukuu wa Mwenyezi-Mungu wafika hata nje ya mipaka ya nchi ya Israeli.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘Mwenyezi Mungu ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘bwana ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Na macho yenu ninyi yataona, nanyi mtasema, BWANA ndiye mkuu hata katika nje ya mipaka ya Israeli. Tazama sura |