Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:36 - Swahili Revised Union Version

36 Na wale waliokuwa wameona waliwaeleza jinsi alivyoponywa yule aliyepagawa na pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Wale watu walioshuhudia tukio hilo waliwaeleza hao jinsi yule mtu alivyoponywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine jinsi yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu alivyoponywa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Wale walioyaona mambo hayo wakawaeleza watu wengine jinsi yule mtu aliyekuwa amepagawa na pepo wachafu alivyoponywa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Na wale waliokuwa wameona waliwaeleza jinsi alivyoponywa yule aliyepagawa na pepo.

Tazama sura Nakili




Luka 8:36
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Na jamii ya watu wa nchi ya Wagerasi iliyo karibu walimwomba aondoke kwao, kwa kuwa walishikwa na hofu kubwa; basi akapanda katika mashua, akarudi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo