Luka 8:31 - Swahili Revised Union Version31 Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Hao pepo wakamsihi asiwapeleke kwenye shimo kuu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Hao pepo wakamsihi asiwapeleke kwenye shimo kuu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Hao pepo wakamsihi asiwapeleke kwenye shimo kuu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Wale pepo wachafu wakamsihi sana asiwaamuru kwenda katika Shimo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Wakamsihi asiwaamuru watoke kwenda shimoni. Tazama sura |
Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yuko tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.