Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:35 - Swahili Revised Union Version

35 Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa watoto wake wote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Hata hivyo, hekima ya Mungu imethibitishwa kuwa njema na wote wale wanaoikubali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Lakini hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Nayo hekima huthibitishwa kuwa kweli na watoto wake wote.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa watoto wake wote.

Tazama sura Nakili




Luka 7:35
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.


Na watu wote na watoza ushuru waliposikia hayo, waliikiri haki ya Mungu, kwa kuwa wamebatizwa kwa ubatizo wa Yohana.


Mwana wa Adamu amekuja, anakula na kunywa; nanyi mwasema, Tazama, mlafi huyu, na mnywaji wa divai, rafiki wao watoza ushuru na wenye dhambi.


Mtu mmoja katika Mafarisayo alimwalika ale chakula kwake; akaingia katika nyumba yake yule Farisayo, akaketi chakulani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo