Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 6:36 - Swahili Revised Union Version

36 Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kuweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Basi, iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.

Tazama sura Nakili




Luka 6:36
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ninyi iweni wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.


Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; sameheni, nanyi mtasamehewa.


Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matusi yaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya;


Lakini hekima itokayo juu, kwanza ni safi, tena ni ya amani, ya upole, tayari kusikiliza maneno ya watu, imejaa rehema na matunda mema, haina fitina, haina unafiki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo