Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:7 - Swahili Revised Union Version

7 Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Hivi vyote vitakuwa mali yako wewe, kama ukiniabudu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Hivyo ukinisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Hivyo ikiwa utanisujudia na kuniabudu, vyote vitakuwa vyako.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Basi, wewe ukisujudu mbele yangu yote yatakuwa yako.

Tazama sura Nakili




Luka 4:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, wafalme wote na wamsujudie; Na mataifa yote wamtumikie.


BWANA asema hivi, Kazi ya Misri, na bidhaa ya Kushi, na Waseba, watu walio warefu, watakujia, nao watakuwa wako; watakufuata; watakuja katika minyororo; wataanguka chini mbele yako, watakuomba, wakisema, Hakika Mungu yu ndani yako; wala hapana mwingine, hapana Mungu tena.


Watu wamwagao dhahabu kutoka mfukoni, na kupima fedha katika mizani, huajiri mfua dhahabu, akaifanya mungu; huanguka, naam, huabudu.


Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu, uvumba na manemane.


akaanguka kifudifudi miguuni pake, akamshukuru; naye alikuwa Msamaria.


Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa yeyote kama nipendavyo.


Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake.


Alipomwona Yesu alipiga kelele, akaanguka mbele yake, akasema kwa sauti kuu, Nina nini nawe, Yesu, Mwana wa Mungu Aliye Juu? Nakusihi usinitese.


Nami Yohana ndimi niliyeyasikia na kuyaona mambo hayo. Na hapo nilipoyasikia na kuyaona nilianguka, ili nisujudu mbele ya miguu ya malaika yule mwenye kunionesha hayo.


ndipo hao wazee ishirini na wanne huanguka mbele zake yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi, nao humsujudia yeye aliye hai hata milele na milele, nao hutupa taji zao mbele ya kile kiti cha enzi, wakisema,


Hata alipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-kondoo, kila mmoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaa manukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo