Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:39 - Swahili Revised Union Version

39 Akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, ikamwacha; mara hiyo akainuka, akawatumikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Yesu akaja akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Yule mama akainuka mara, akawatumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Yesu akaja akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Yule mama akainuka mara, akawatumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Yesu akaja akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, nayo ikamwacha. Yule mama akainuka mara, akawatumikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Hivyo Isa akamwinamia na kukemea ile homa, nayo ikamwacha. Akaamka mara moja, naye akaanza kuwahudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Hivyo Isa akamwinamia na kukemea ile homa, nayo ikamwacha. Akaamka saa ile ile, naye akaanza kuwahudumia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Akasimama karibu naye, akaikemea ile homa, ikamwacha; mara hiyo akainuka, akawatumikia.

Tazama sura Nakili




Luka 4:39
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nimrudishie BWANA nini Kwa ukarimu wake wote alionitendea?


Na mara walipotoka katika sinagogi, walifika nyumbani kwa Simoni na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.


Yesu akamkemea, akisema, Fumba kinywa, mtoke. Ndipo yule pepo akamwangusha katikati, akamtoka pasipo kumdhuru.


Pepo nao waliwatoka watu wengi, wakipiga kelele na kusema, Wewe u Mwana wa Mungu. Akawakemea, asiwaache kunena, kwa sababu walimjua kuwa ndiye Kristo.


Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo