Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 4:21 - Swahili Revised Union Version

21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ndipo akaanza kwa kuwaambia, “Leo Andiko hili limetimia mkiwa mnasikia.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu.

Tazama sura Nakili




Luka 4:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na neno la nabii Isaya linatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa; Kutazama mtatazama, wala hamtaona.


Akakifunga kitabu, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.


Lakini mambo yale aliyohubiri Mungu tangu zamani kwa kinywa cha manabii wake wote, ya kwamba Kristo wake atateswa, ameyatimiza hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo