Luka 3:23 - Swahili Revised Union Version23 Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri wa miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Yesu alipoanza kazi yake hadharani alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mtoto wa Yosefu mwana wa Heli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Yesu alipoanza kazi yake hadharani alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mtoto wa Yosefu mwana wa Heli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Yesu alipoanza kazi yake hadharani alikuwa na umri upatao miaka thelathini, na watu walidhani yeye ni mtoto wa Yosefu mwana wa Heli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Isa alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yusufu. Yusufu alikuwa mwana wa Eli, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Isa alikuwa na umri wa miaka thelathini alipoanza huduma yake. Alikuwa akidhaniwa kuwa mwana wa Yusufu, Yusufu alikuwa mwana wa Eli, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri wa miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli, Tazama sura |