Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:48 - Swahili Revised Union Version

48 Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Nyinyi ni mashahidi wa mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Nyinyi ni mashahidi wa mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Nyinyi ni mashahidi wa mambo hayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 Nanyi ndinyi mashahidi wa mambo haya.

Tazama sura Nakili




Luka 24:48
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi pia mnashuhudia, kwa kuwa tangu mwanzo mmekuwapo pamoja nami.


kuanza tangu ubatizo wa Yohana, hata siku ile alipochukuliwa kwetu kwenda juu, inapasa mmoja wao awe shahidi wa kufufuka kwake pamoja nasi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na kote katika Yudea, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.


Nasi tu mashahidi wa mambo yote aliyoyatenda katika nchi ya Wayahudi na katika Yerusalemu; ambaye walimwua wakamtundika mtini.


si kwa watu wote, bali kwa mashahidi waliokuwa wamekwisha kuchaguliwa na Mungu, ndio sisi, tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu.


akaonekana siku nyingi na wale waliopanda naye kutoka Galilaya hadi Yerusalemu, ambao sasa ndio walio mashahidi wake mbele ya watu.


Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.


Kwa maana utakuwa shahidi wake kwa watu wote, wa mambo hayo uliyoyaona na kuyasikia.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambaye Mungu amemfufua katika wafu; na sisi tu mashahidi wake.


Na mitume wakatoa ushuhuda wa kufufuka kwake Yesu kwa nguvu nyingi, na neema nyingi ikawa juu yao wote.


Na sisi tu mashahidi wa mambo haya, pamoja na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wote wanaomtii.


Nawasihi wazee walio kwenu, mimi niliye mzee, mwenzi wao, na shahidi wa mateso ya Kristo, na mshirika wa utukufu utakaofunuliwa baadaye;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo