Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 24:28 - Swahili Revised Union Version

28 Wakakikaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, naye alifanya kama anataka kuendelea mbele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Walipokikaribia kile kijiji walichokuwa wanakiendea, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Walipokikaribia kile kijiji walichokuwa wanakiendea, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Walipokikaribia kile kijiji walichokuwa wanakiendea, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea na safari;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Isa akawa kama anaendelea mbele.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Nao walipokaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, Isa akawa kama anaendelea mbele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Wakakikaribia kile kijiji walichokuwa wakienda, naye alifanya kama anataka kuendelea mbele.

Tazama sura Nakili




Luka 24:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Bwana zangu, karibuni nawasihi mwingie nyumbani mwa mtumwa wenu, mkalale, mkanawe miguu yenu, hata asubuhi mwondoke na mapema mkaende zenu. Wakasema, Sivyo, lakini tutakaa uwanjani usiku kucha.


Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.


Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.


Akawaona wakitaabika kwa kuvuta makasia, kwa maana upepo ulikuwa unwakabili; hata ilipopata kama zamu ya nne ya usiku akawaendea, akitembea juu ya bahari; akataka kuwapita.


Wakamshawishi wakisema, Kaa pamoja nasi, kwa kuwa kumekuchwa, na mchana unakwisha. Akaingia ndani kukaa nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo