Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:34 - Swahili Revised Union Version

34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Yesu akawaambia, “Watu wa nyakati hizi huoa na kuolewa;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;

Tazama sura Nakili




Luka 20:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye mtu yeyote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.


Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba.


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.


Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo