Luka 20:31 - Swahili Revised Union Version31 hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba – wote walikufa bila kuacha watoto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba – wote walikufa bila kuacha watoto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 na ndugu wa tatu vilevile. Mambo yakawa yaleyale kwa wote saba — wote walikufa bila kuacha watoto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto. Tazama sura |