Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:29 - Swahili Revised Union Version

29 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa mke, akafa hana mtoto;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Sasa, wakati mmoja kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza alioa na baadaye akafa bila kuacha mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Basi kulikuwa na ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa mke, akafa hana mtoto;

Tazama sura Nakili




Luka 20:29
4 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA asema hivi, Andikeni habari za mtu huyu kwamba hana watoto, kwamba mtu huyu hatafanikiwa siku zake zote; maana hapana mtu katika wazao wake atakayefanikiwa, akiketi katika kiti cha enzi cha Daudi, na kutawala tena katika Yuda.


Tena mwanamume akilala na mke wa mjomba wake, ameufunua utupu wa mjomba wake; watauchukua uovu wao; watakufa bila kuzaa mwana.


wakisema, Mwalimu, Musa alituandikia ya kuwa, mtu akifiwa na ndugu yake mwenye mke, lakini hana mtoto na amtwae huyu mke, ampatie ndugu yake mzao.


na wa pili [akamtwaa yule mke, akafa hana mtoto;]


Tufuate:

Matangazo


Matangazo