Luka 20:2 - Swahili Revised Union Version2 wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya? Tazama sura |