Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:2 - Swahili Revised Union Version

2 wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 wakasema, “Tuambie! Unafanya mambo haya kwa mamlaka gani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wakamuuliza, “Tuambie, unafanya mambo haya kwa mamlaka gani? Ni nani aliyekupa mamlaka haya?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 wakamwambia, wakisema, Tuambie, unatenda mambo hayo kwa mamlaka gani? Tena, ni nani aliyekupa mamlaka haya?

Tazama sura Nakili




Luka 20:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana.


Ikawa siku moja, alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni, na kuihubiri Habari Njema, wakuu wa makuhani na waandishi pamoja na wazee walimtokea ghafla;


Akajibu akawaambia, Nami nitawauliza ninyi neno moja; niambieni,


Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya?


Lakini yeye aliyemdhulumu mwenziwe akamsukumia mbali, akisema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu na mwamuzi juu yetu?


Enyi wenye shingo gumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, siku zote mnampinga Roho Mtakatifu; kama baba zenu walivyofanya, na ninyi ni vivyo hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo