Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:12 - Swahili Revised Union Version

12 Akamtuma na wa tatu; huyu naye wakamtia jeraha, wakamtupa nje.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Bado akamtuma na mwingine wa tatu, huyu pia wakamjeruhi na kumtupa nje ya shamba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Akamtuma na wa tatu; huyu naye wakamtia jeraha, wakamtupa nje.

Tazama sura Nakili




Luka 20:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akamwambia mwingine, Na wewe unadaiwa nini? Akasema, Makanda mia ya ngano. Akamwambia, Twaa hati yako, andika themanini.


Akatuma na mtumwa mwingine. Wakampiga huyu naye, wakamwaibisha wakamfukuza mikono mitupu.


Basi, bwana wa shamba la mizabibu alisema, Nifanyeje? Nitamtuma mwanangu, mpendwa wangu; yamkini watamheshimu yeye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo