Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 19:23 - Swahili Revised Union Version

23 basi, mbona hukuiweka fedha yangu kwa watoao riba, ili nijapo niipate pamoja na faida yake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kwa nini, basi, hukuiweka fedha yangu benki, nami ningeichukua pamoja na faida baada ya kurudi kwangu?’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 basi, mbona hukuiweka fedha yangu kwa watoao riba, ili nijapo niipate pamoja na faida yake?

Tazama sura Nakili




Luka 19:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.


Akamwambia, Nitakuhukumu kwa kinywa chako, mtumwa mwovu wewe. Ulinijua kuwa ni mtu mgumu, nichukuaye nisichoweka, na kuvuna nisichopanda;


Akawaambia waliosimama karibu, Mnyang'anyeni hilo fungu, mkampe yule mwenye mafungu kumi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo