Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:4 - Swahili Revised Union Version

4 Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Akikukosea mara saba kwa siku moja, na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na kama akikukosea mara saba katika siku moja, na kurudi kwako mara saba, akisema, Nimetubu, msamehe.

Tazama sura Nakili




Luka 17:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

La, kama hasikii, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, ili kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu kila neno lithibitike.


Ndivyo na Baba yangu wa mbinguni atakavyowatenda ninyi, msiposamehe kwa mioyo yenu kila mtu ndugu yake.


lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,


Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu.


Mitume wakamwambia Bwana, Tuongezee imani.


Lakini, Adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivyo, utampalia makaa ya moto kichwani pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo