Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 17:25 - Swahili Revised Union Version

25 Lakini kwanza, hana budi kupata mateso mengi, na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Lakini kabla ya hayo, itambidi ateseke sana na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Lakini kwanza, hana budi kupata mateso mengi, na kukataliwa na kizazi hiki.

Tazama sura Nakili




Luka 17:25
18 Marejeleo ya Msalaba  

Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; Neno hili limetoka kwa Bwana, Nalo ni la ajabu machoni petu?


akisema, Angalieni, tunapanda kwenda Yerusalemu; na Mwana wa Adamu atatiwa mikononi mwa wakuu wa makuhani na waandishi, nao watamhukumu afe, watamtia mikononi mwa Mataifa,


Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Akaanza kuwafundisha kwamba imempasa Mwana wa Adamu kupatikana na mateso mengi, na kukataliwa na wazee, na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na baada ya siku tatu kufufuka.


Kwa sababu alikuwa akiwafundisha wanafunzi wake, akawaambia, Mwana wa Adamu yuaenda kutiwa katika mikono ya watu, nao watamwua; na akiisha kuuawa, baada ya siku tatu atafufuka.


Akawachukua wale Kumi na Wawili, akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote, Mwana wa Adamu aliyoandikiwa na manabii yatatimizwa.


nao watampiga mijeledi, kisha watamwua; na siku ya tatu atafufuka.


Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;


akisema, Imempasa Mwana wa Adamu kupata mateso mengi, na kukataliwa na wazee na wakuu wa makuhani na waandishi, na kuuawa na siku ya tatu kufufuka.


Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.


ili litimie lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, ni nani aliyezisadiki habari zetu; Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


lakini leo mmemkataa Mungu wenu, naye ndiye awaponyaye katika misiba yenu yote na shida zenu; nanyi mmemwambia, Sivyo, lakini weka mfalme juu yetu. Basi, sasa, njoni mbele za BWANA, kwa makabila yenu na kwa maelfu yenu.


BWANA akamwambia Samweli, Isikilize sauti ya watu hawa katika kila neno watakalokuambia; kwa maana hawakukukataa wewe, bali wamenikataa mimi, ili nisiwe mfalme juu yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo