Luka 16:20 - Swahili Revised Union Version20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Na, mlangoni pa huyo tajiri kulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaro, ambaye alikuwa amejaa vidonda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Hapo penye mlango wake aliishi maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Hapo penye mlango wake aliishi maskini mmoja, jina lake Lazaro, mwenye vidonda mwili mzima. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, Tazama sura |