Luka 16:12 - Swahili Revised Union Version12 Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Na kama nyinyi si waaminifu kuhusu mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Nanyi kama hamkuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Nanyi kama hamkuwa waaminifu na mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Na kama hamkuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe? Tazama sura |