Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 15:16 - Swahili Revised Union Version

16 Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Alitamani kula maganda waliyokula wale nguruwe, ila hakuna mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Akatamani kujishibisha kwa maganda waliyokula wale nguruwe, wala hakuna mtu aliyempa chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Akatamani kujishibisha kwa maganda waliyokula wale nguruwe, wala hakuna mtu aliyempa chochote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.

Tazama sura Nakili




Luka 15:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hung'oa mboga ya chumvi kwenye kichaka; Na mizizi ya mretemu ni chakula chao.


Utazame mkono wangu wa kulia ukaone, Kwa maana sina mtu anijuaye. Makimbilio yamenipotea, Hakuna wa kunitunza roho.


Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.


Hula majivu; moyo uliodanganyika umempotosha, asiweze kuiokoa nafsi yake, wala kusema, Je! Sio uongo mkononi mwangu?


Kwa nini mtoe fedha kwa ajili ya kitu ambacho si chakula? Na mapato yenu kwa kitu kisichoshibisha? Nisikilizeni kwa bidii, mle kilicho chema, Na kujifurahisha nafsi zenu kwa unono.


Lakini ninyi karibuni hapa, enyi wana wa mwanamke mchawi, uzao wa mzinzi na kahaba.


Wale waliokula vitu vya anasa Wameachwa peke yao njiani; Wale waliokuzwa kuvaa nguo nyekundu Wakumbatia jaa.


Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Akaenda akashikamana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.


Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kubakiza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo