Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:6 - Swahili Revised Union Version

6 Je! Shomoro watano hawauzwi kwa senti mbili? Wala hasahauliwi hata mmojawapo mbele za Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa sarafu ndogo kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa sarafu ndogo kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Inajulikana kwamba shomoro watano huuzwa kwa sarafu ndogo kumi, au sivyo? Lakini mbele ya Mungu hasahauliki hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mnajua kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti mbili? Lakini Mungu hamsahau hata mmoja wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mnajua kwamba shomoro watano huuzwa kwa senti mbili? Lakini Mungu hamsahau hata mmoja wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Je! Shomoro watano hawauzwi kwa senti mbili? Wala hasahauliwi hata mmojawapo mbele za Mungu.

Tazama sura Nakili




Luka 12:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


Je! Mashomoro wawili hawauzwi kwa senti moja? Wala hata mmoja haanguki chini asipojua Baba yenu;


Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa.


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!


Yatafakarini maua jinsi yameavyo; hayatendi kazi wala hayasokoti; nami nawaambia ya kwamba hata Sulemani katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo la hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo