Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:38 - Swahili Revised Union Version

38 Na akija zamu ya pili, au akija zamu ya tatu, na kuwakuta hivi, heri watumwa hao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Hata kama atarudi usiku wa manane au alfajiri na kuwakuta wanakesha, heri yao watumishi hao!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Itakuwa heri kwa watumwa hao ikiwa bwana wao atakapokuja atawakuta wamekesha hata kama atakuja mnamo usiku wa manane, au karibu na mapambazuko.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Na akija zamu ya pili, au akija zamu ya tatu, na kuwakuta hivi, heri watumwa hao.

Tazama sura Nakili




Luka 12:38
4 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliujua ule wakati mwizi atakaokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.


Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki.


Lakini fahamuni neno hili, Kwamba mwenye nyumba angalijua saa atakayokuja mwizi, angalikesha, wala asingaliacha nyumba yake kuvunjwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo