Luka 12:2 - Swahili Revised Union Version2 Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana. Tazama sura |