Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 12:2 - Swahili Revised Union Version

2 Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kila kilichofunikwa kitafunuliwa, kila kilichofichika kitafichuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Lakini hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa, wala lililofichwa ambalo halitajulikana.

Tazama sura Nakili




Luka 12:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote, hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.


Kwa habari za dhabihu za matoleo yangu, hutoa dhabihu ya nyama na kuila; lakini BWANA hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao, na kuwapatiliza dhambi zao; watarudi kwenda Misri.


Kwa maana hakuna neno lililositirika, ila kusudi lije kudhihirika; wala hakuna lililofichwa, ila kusudi lije kutokea wazi.


Kwa maana hakuna neno lililositirika ambalo halitafunuliwa; wala lililofichwa ambalo halitajulikana na kuwekwa wazi.


katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee malipo ya mambo aliyotenda kwa mwili, kadiri alivyotenda, yawe ni mema au mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo