Luka 11:45 - Swahili Revised Union Version45 Mtu mmoja katika wanasheria akajibu, akamwambia, Mwalimu, kwa kusema hayo umetushutumu sisi nasi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 Mmoja wa waalimu wa sheria akamwambia, “Mwalimu, maneno yako yanatukashifu na sisi pia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 Mtaalamu mmoja wa Torati akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 Mtaalamu mmoja wa sheria akamjibu, akasema, “Mwalimu, unaposema mambo haya, unatutukana na sisi pia.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI45 Mtu mmoja katika wanasheria akajibu, akamwambia, Mwalimu, kwa kusema hayo umetushutumu sisi nasi. Tazama sura |