Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 11:35 - Swahili Revised Union Version

35 Angalia basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Uwe mwangalifu basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Uwe mwangalifu basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Uwe mwangalifu basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Kwa hiyo, hakikisha kwamba nuru iliyo ndani yako isiwe giza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Kwa hiyo, hakikisha kwamba nuru iliyoko ndani yako isiwe giza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

35 Angalia basi, mwanga ulio ndani yako usije ukawa giza.

Tazama sura Nakili




Luka 11:35
17 Marejeleo ya Msalaba  

Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa kamili, mwili wako wote utakuwa na nuru.


Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote unao mwanga; lakini likiwa bovu, mwili wako nao una giza.


Basi kama mwanga umeenea katika mwili wako wote, wala hauna sehemu iliyo na giza, mwili wako wote utakuwa na mwanga mtupu; kama vile taa ikumulikiapo kwa mwanga wake.


Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;


Maana yeye asiyekuwa na hayo ni kipofu, hawezi kuona vitu vilivyo mbali, amesahau kule kutakaswa dhambi zake za zamani.


Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;


Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo