Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:36 - Swahili Revised Union Version

36 Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Kisha Yesu akauliza, “Kati ya hao watatu, ni yupi aliyeonesha kuwa jirani yake yule aliyevamiwa na majambazi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyang’anyi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 “Ni yupi basi miongoni mwa hawa watatu wewe unadhani ni jirani yake yule mtu aliyeangukia mikononi mwa wanyang’anyi?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi aliyekuwa jirani yake yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi?

Tazama sura Nakili




Luka 10:36
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipoingia nyumbani, Yesu alitangulia kumwuliza, akisema, Waonaje, Simoni? Wafalme wa dunia hutwaa kodi ama ushuru kwa watu gani? Kwa wana wao au kwa wageni?


Ni mwana wa nani? Wakamwambia, Ni wa Daudi.


Hata siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema, Mtunze huyu, na chochote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi nitakulipa.


Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia, Nenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo.


Nao walipokuwa hawana cha kumlipa, aliwasamehe wote wawili. Katika hao wawili ni yupi atakayempenda zaidi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo