Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 10:28 - Swahili Revised Union Version

28 Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yesu akamwambia, “Vema! Fanya hivyo, nawe utaishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Isa akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Isa akamwambia, “Umejibu vyema. Fanya hivyo nawe utaishi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi.

Tazama sura Nakili




Luka 10:28
14 Marejeleo ya Msalaba  

ukawashuhudia ili uwarudishe tena katika sheria yako; lakini walitakabari, wasizisikilize amri zako, bali wakayaasi maagizo yako, (ambazo mtu akizitenda ataishi katika hizo), nao wakayaondoa mabega yao, wakafanya shingo zao kuwa ngumu, wasitake kusikiliza.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Nikawapa amri zangu, na kuwaonesha hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda.


Lakini nyumba ya Israeli waliniasi jangwani; hawakuenda katika amri zangu, wakazikataa hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda; na sabato zangu walizitia unajisi sana; ndipo nikasema, Nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani, ili niwaangamize.


Lakini watoto hao waliniasi; hawakuenda katika amri zangu, wala hawakuzishika hukumu zangu kuzitenda, ambazo mwanadamu ataishi kwazo kama akizitenda; walizitia unajisi sabato zangu, ndipo nikasema, kwamba nitamwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiza hasira yangu juu yao jangwani.


Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na maagizo yangu yeyote atakayefanya hivyo ataishi; mimi ndimi BWANA.


Akamwambia, Kwa nini uniulize kuhusu wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.


Naye Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, alimwambia, Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumwuliza swali tena tokea hapo.


Simoni akajibu akasema, Nadhani ni yule ambaye alimsamehe nyingi. Akamwambia, Umeamua haki.


Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;


Nikaona ya kuwa ile amri iletayo uzima kwangu mimi ilileta mauti.


Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.


BWANA akatuamuru kuzifanya amri hizi zote, tumche BWANA, Mungu wetu, tuone mema sikuzote ili atuhifadhi hai kama hivi leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo