Luka 1:8 - Swahili Revised Union Version8 Basi ikawa, alipokuwa akifanya kazi ya ukuhani wakati wa zamu yake mbele za Mungu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Siku moja, ilipokuwa zamu yake kutoa huduma ya ukuhani mbele ya Mungu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Siku moja ilipokuwa zamu ya kikundi cha Zakaria, yeye akifanya kazi ya ukuhani Hekaluni mbele za Mungu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Siku moja ilipokuwa zamu ya kikundi cha Zekaria, yeye akifanya kazi ya ukuhani Hekaluni mbele za Mwenyezi Mungu, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Basi ikawa, alipokuwa akifanya kazi ya ukuhani wakati wa zamu yake mbele za Mungu, Tazama sura |