Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:43 - Swahili Revised Union Version

43 Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijie mimi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

43 Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

43 Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

43 Mimi ni nani hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

43 Lakini ni kwa nini mimi nimepata kibali kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

43 Lakini ni kwa nini mimi nimepata upendeleo kiasi hiki, hata mama wa Bwana wangu afike kwangu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

43 Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijie mimi?

Tazama sura Nakili




Luka 1:43
15 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye.


Lakini Yohana alitaka kumzuia, akisema, Mimi nahitaji kubatizwa na wewe, nawe waja kwangu?


akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.


Maana sauti ya kuamkia kwako ilipoingia masikioni mwangu, kitoto kichanga kikaruka kwa shangwe ndani ya tumbo langu.


maana leo katika mji wa Daudi amezaliwa, kwa ajili yenu, Mwokozi, ndiye Kristo Bwana.


kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.


Ninyi mwaniita, Mwalimu, na, Bwana; nanyi mwanena vema, maana ndivyo nilivyo.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Msitende neno lolote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.


Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kiasi wa kumjua Kristo Yesu, Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo;


Ndipo aliposujudia, akainama mpaka nchi, akamwambia, Jinsi gani nimepata kibali machoni pako, hata ukanifahamu, mimi niliye mgeni?


Naye akainuka na kujiinamisha kifudifudi mpaka chini, akasema, Tazama, mjakazi wako ni mtumishi wa kuwaosha miguu watumishi wa bwana wangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo