Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 1:21 - Swahili Revised Union Version

21 Na wale watu walikuwa wakimngojea Zakaria, wakastaajabia kukawia kwake mle hekaluni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wakati huo watu walikuwa wanamngojea Zakaria nje huku wakishangaa kukawia kwake mle Hekaluni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wakati huo watu walikuwa wanamngojea Zekaria nje huku wakishangaa kukawia kwake mle Hekaluni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Na wale watu walikuwa wakimngojea Zakaria, wakastaajabia kukawia kwake mle hekaluni.

Tazama sura Nakili




Luka 1:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akavitupa vile vipande vya fedha katika hekalu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.


Yesu aliposikia hayo, alistaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa namna hii, kwa yeyote katika Israeli.


Na tazama! Utakuwa bubu, usiweze kusema, mpaka siku ile yatakapotukia hayo, kwa sababu hukuyasadiki maneno yangu; nayo yatatimizwa kwa wakati wake.


Alipotoka akiwa hawezi kusema nao, walitambua ya kuwa ameona maono ndani ya hekalu, naye aliendelea kuwaashiria akakaa bubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo