Luka 1:21 - Swahili Revised Union Version21 Na wale watu walikuwa wakimngojea Zakaria, wakastaajabia kukawia kwake mle hekaluni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Wakati huo, wale watu walikuwa wanamngoja Zakaria huku wakishangaa juu ya kukawia kwake hekaluni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Wakati huo watu walikuwa wanamngojea Zakaria nje huku wakishangaa kukawia kwake mle Hekaluni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Wakati huo watu walikuwa wanamngojea Zekaria nje huku wakishangaa kukawia kwake mle Hekaluni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Na wale watu walikuwa wakimngojea Zakaria, wakastaajabia kukawia kwake mle hekaluni. Tazama sura |