Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 8:12 - Swahili Revised Union Version

12 Basi Musa na Haruni wakatoka kwa Farao; Musa akamlilia BWANA katika jambo la hao vyura aliokuwa amewaleta juu ya Farao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Basi, Mose na Aroni wakaondoka nyumbani kwa Farao, na Mose akamlilia Mwenyezi-Mungu amwondolee Farao uvamizi wa vyura hao aliomletea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Basi, Mose na Aroni wakaondoka nyumbani kwa Farao, na Mose akamlilia Mwenyezi-Mungu amwondolee Farao uvamizi wa vyura hao aliomletea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Basi, Mose na Aroni wakaondoka nyumbani kwa Farao, na Mose akamlilia Mwenyezi-Mungu amwondolee Farao uvamizi wa vyura hao aliomletea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Baada ya Musa na Haruni kuondoka kwa Farao, Musa akamlilia Mwenyezi Mungu kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Baada ya Musa na Haruni kuondoka kwa Farao, Musa akamlilia bwana kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao.

Tazama sura Nakili




Kutoka 8:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa katika nchi yao yote.


Akatoka kwa Farao, na kumwomba BWANA.


Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?


BWANA akafanya sawasawa na neno la Musa; na hao vyura wakafa kutoka katika zile nyumba, na katika viwanja, na katika mashamba.


Musa akatoka kwa Farao, akamwomba BWANA.


Ndipo Farao akawaita Musa na Haruni na kuwaambia, Mwombeni BWANA, ili awaondoe vyura hawa kwangu mimi na kwa watu wangu; nami nitawapa watu ruhusa waende zao, ili wamtolee BWANA dhabihu.


Musa akatoka mjini, kutoka kwa Farao, akamwinulia BWANA mikono yake; na zile ngurumo na ile mvua ya mawe zikakoma, wala mvua haikunyesha juu ya nchi.


Bwana MUNGU asema hivi, Tena kwa ajili ya jambo hili nitaulizwa na nyumba ya Israeli, ili niwatendee; nami nitawaongeza kwa watu kama kundi la kondoo.


Lakini mimi, hasha! Nisimtende BWANA dhambi kwa kuacha kuwaombea ninyi; lakini nitawaelimisha katika njia iliyo njema, na kunyoka


Tufuate:

Matangazo


Matangazo