Kutoka 5:4 - Swahili Revised Union Version4 Mfalme wa Misri akawaambia Enyi Musa na Haruni, mbona mnawaachisha watu kazi zao? Nendeni zenu kwa mizigo yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Lakini mfalme wa Misri akawajibu, “Enyi Mose na Aroni, kwa nini mnajaribu kuwatoa watu kazini mwao? Rudini kazini mwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Lakini mfalme wa Misri akawajibu, “Enyi Mose na Aroni, kwa nini mnajaribu kuwatoa watu kazini mwao? Rudini kazini mwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Lakini mfalme wa Misri akawajibu, “Enyi Mose na Aroni, kwa nini mnajaribu kuwatoa watu kazini mwao? Rudini kazini mwenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Musa na Haruni mnawaondoa watu kutoka kwenye kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Musa na Haruni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Mfalme wa Misri akawaambia Enyi Musa na Haruni, mbona mnawaachisha watu kazi zao? Nendeni zenu kwa mizigo yenu. Tazama sura |