Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 40:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nawe utatia ndani yake sanduku la ushuhuda, nawe utalisitiri hilo sanduku kwa pazia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ndani ya hema hilo utaweka lile sanduku la ushuhuda, kisha weka pazia mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ndani ya hema hilo utaweka lile sanduku la ushuhuda, kisha weka pazia mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ndani ya hema hilo utaweka lile sanduku la ushuhuda, kisha weka pazia mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.

Tazama sura Nakili




Kutoka 40:3
16 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana sikukaa ndani ya nyumba tangu siku ile nilipowaleta Israeli huku hata leo; lakini hema kwa hema nimehamia, na maskani kwa maskani.


Nao na wafanye sanduku la mti wa mjohoro; urefu wake na uwe dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu, na kwenda juu kwake dhiraa moja na nusu.


Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza nawe pale nilipo juu ya kiti cha rehema, katikati ya hayo makerubi mawili yaliyo juu ya sanduku la ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa ajili ya wana wa Israeli.


Nawe fanya pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na nguo za kitani nzuri zenye kusokotwa, litafumwa na kutiwa makerubi, kazi ya fundi stadi;


yaani, hema ya kukutania na sanduku la ushuhuda, na kiti cha rehema kilicho juu yake, na vyombo vyote vya Hema;


hilo sanduku, miti yake, hicho kiti cha rehema na lile pazia la sitara;


Kisha Musa akanena na mkutano wote wa wana wa Israeli, akawaambia, Neno hili ndilo aliloliamuru BWANA, akisema,


Basi ndivyo ilivyomalizwa kazi yote ya maskani ya hema ya kukutania; na wana wa Israeli walifanya kama yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya.


Kisha atatwaa baadhi ya damu ya yule ng'ombe, na kuinyunyiza kwa kidole chake juu ya kiti cha rehema upande wa mashariki; na mbele ya kiti cha rehema atainyunyiza ile damu kwa kidole chake mara saba.


hapo watakapoanza safari, Haruni ataingia ndani, na wanawe, nao watalishusha pazia la sitara, na kulifunika sanduku la ushahidi kwa hilo pazia;


Na nyuma ya pazia la pili, ile hema iitwayo Patakatifu pa patakatifu,


Kisha hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la Agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua kubwa ya mawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo