Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 2:1 - Swahili Revised Union Version

1 Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kulikuwa na mtu mmoja wa ukoo wa Walawi aliyemwoa mwanamke mmoja ambaye pia alikuwa wa ukoo wa Walawi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaenda akaoa binti mmoja wa Lawi.

Tazama sura Nakili




Kutoka 2:1
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.


yule Hadadi alikimbia, yeye na Waedomi wengine, watumishi wa baba yake, pamoja naye, waende Misri; yule Hadadi angali ni mtoto mdogo.


Na jina la mke wa Amramu aliitwa Yokebedi, binti wa Lawi, ambaye alizaliwa kwake Lawi huko Misri; na huyo Yokebedi akamzalia Amramu Haruni, na Musa, na Miriamu dada yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo