Kutoka 15:1 - Swahili Revised Union Version1 Ndipo Musa na wana wa Israeli wakamwimbia BWANA wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia BWANA, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Hapo, Mose pamoja na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi-Mungu wimbo huu, “Nitamwimbia Mwenyezi-Mungu kwani ameshinda kwa fahari, farasi na mpandafarasi wake amewatosa baharini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Hapo, Mose pamoja na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi-Mungu wimbo huu, “Nitamwimbia Mwenyezi-Mungu kwani ameshinda kwa fahari, farasi na mpandafarasi wake amewatosa baharini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Hapo, Mose pamoja na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi-Mungu wimbo huu, “Nitamwimbia Mwenyezi-Mungu kwani ameshinda kwa fahari, farasi na mpandafarasi wake amewatosa baharini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ndipo Musa na Waisraeli wakamwimbia Mwenyezi Mungu wimbo huu: “Nitamwimbia Mwenyezi Mungu, kwa kuwa ametukuzwa sana. Farasi na mpanda farasi amewatosa baharini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ndipo Musa na Waisraeli wakamwimbia bwana wimbo huu: “Nitamwimbia bwana, kwa kuwa ametukuzwa sana. Farasi na mpanda farasi amewatosa baharini. Tazama sura |