Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Kutoka 10:11 - Swahili Revised Union Version

11 Sivyo; endeni ninyi mlio watu wazima, mkamtumikie BWANA; kwa kuwa ndilo jambo mtakalo. Nao walifukuzwa usoni pa Farao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 La hasha! Ni wanaume tu watakaokwenda kumtumikia Mwenyezi-Mungu, maana hilo ndilo mnalotaka.” Hapo Mose na Aroni wakafukuzwa mbele ya Farao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 La hasha! Ni wanaume tu watakaokwenda kumtumikia Mwenyezi-Mungu, maana hilo ndilo mnalotaka.” Hapo Mose na Aroni wakafukuzwa mbele ya Farao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 La hasha! Ni wanaume tu watakaokwenda kumtumikia Mwenyezi-Mungu, maana hilo ndilo mnalotaka.” Hapo Mose na Aroni wakafukuzwa mbele ya Farao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu Mwenyezi Mungu, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Musa na Haruni wakaondolewa mbele ya Farao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu bwana, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Musa na Haruni wakaondolewa mbele ya Farao.

Tazama sura Nakili




Kutoka 10:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wenye kiburi wamenizulia uongo, Lakini kwa moyo wangu wote nitayashika mausia yako.


Lakini akawaambia, Ehe, BWANA na awe pamoja nanyi, kama nitakavyowapa ruhusa kwenda zenu pamoja na watoto wenu; angalieni, kwa kuwa pana uovu huko mbele yenu.


Farao akamwambia Musa, Nenda zako, ujiangalie, usinione uso tena; kwani siku hiyo utakayoniangalia uso wangu utakufa.


Mfalme wa Misri akawaambia Enyi Musa na Haruni, mbona mnawaachisha watu kazi zao? Nendeni zenu kwa mizigo yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo