Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 7:7 - Swahili Revised Union Version

7 Bwana MUNGU asema hivi, Neno hili halitasimama wala halitakuwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 “Lakini mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Jambo hilo halitafaulu kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 “Lakini mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Jambo hilo halitafaulu kamwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 “Lakini mimi Bwana Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Jambo hilo halitafaulu kamwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini Bwana Mungu Mwenyezi asema hivi: “ ‘Jambo hili halitatendeka, halitatukia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini bwana Mwenyezi asema hivi: “ ‘Jambo hili halitatendeka, halitatokea,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Bwana MUNGU asema hivi, Neno hili halitasimama wala halitakuwa.

Tazama sura Nakili




Isaya 7:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Shauri la BWANA lasimama milele, Makusudi ya moyo wake vizazi na vizazi.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Hapana hekima, wala ufahamu, Wala shauri, juu ya BWANA.


Na agano lenu mliloagana na mauti litabatilika, tena mapatano yenu mliyopatana na kuzimu hayatasimama; pigo lifurikalo litakapopita, ndipo ninyi mtakapokanyagwa nalo.


Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu, nitatia kulabu yangu katika pua yako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha kwa njia ile ile uliyoijia.


Hata ikawa katika siku za Ahazi, mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Resini, mfalme wa Shamu, na Peka, mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakapanda wakaenda Yerusalemu ili kupigana nao, lakini hawakuweza kuushinda.


Haya, na tupande ili kupigana na Yuda na kuwasumbua, tukabomoe mahali tupate kuingia, na kummilikisha mfalme ndani yake, huyo mwana wa Tabeeli.


Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


na watu wote wanaokaa duniani wamehesabiwa kuwa si kitu, naye hufanya kama atakavyo, katika jeshi la mbinguni, na katika hao wanaokaa duniani; wala hapana awezaye kuuzuia mkono wake, wala kumwuliza, Unafanya nini wewe?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo