Isaya 66:11 - Swahili Revised Union Version11 mpate kunyonya, na kushibishwa kwa maziwa ya faraja zake, mpate kukama, na kufurahiwa kwa wingi wa utukufu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kama mama, Yerusalemu utawanyonyesha, nanyi mtashiba kwa riziki zake; mtakunywa shibe yenu na kufurahi, kutokana na wingi wa fahari yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kama mama, Yerusalemu utawanyonyesha, nanyi mtashiba kwa riziki zake; mtakunywa shibe yenu na kufurahi, kutokana na wingi wa fahari yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kama mama, Yerusalemu utawanyonyesha, nanyi mtashiba kwa riziki zake; mtakunywa shibe yenu na kufurahi, kutokana na wingi wa fahari yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka katika faraja ya matiti yake; mtakunywa sana, na kuufurahia wingi wa mafuriko ya ustawi wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka katika faraja ya matiti yake; mtakunywa sana, na kuufurahia wingi wa mafuriko ya ustawi wake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 mpate kunyonya, na kushibishwa kwa maziwa ya faraja zake, mpate kukamua, na kufurahiwa kwa wingi wa utukufu wake. Tazama sura |