Isaya 63:8 - Swahili Revised Union Version8 Maana alisema, Hakika ndio watu wangu hawa, wana wasio na hila; akawa Mwokozi wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Maana alisema juu yao: “Hakika, hawa ni watu wangu; watoto wangu ambao hawatanidanganya.” Basi yeye akawa Mwokozi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Maana alisema juu yao: “Hakika, hawa ni watu wangu; watoto wangu ambao hawatanidanganya.” Basi yeye akawa Mwokozi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Maana alisema juu yao: “Hakika, hawa ni watu wangu; watoto wangu ambao hawatanidanganya.” Basi yeye akawa Mwokozi wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Alisema, “Hakika wao ni watu wangu, wana ambao hawatanidanganya”; hivyo akawa Mwokozi wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Alisema, “Hakika wao ni watu wangu, wana ambao hawatanidanganya”; hivyo akawa Mwokozi wao. Tazama sura |