Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 63:2 - Swahili Revised Union Version

2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, Na nguo zako kama za mtu akanyagaye zabibu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Lakini mbona nguo yako ni nyekundu, nyekundu kama ya mtu anayekamua zabibu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Lakini mbona nguo yako ni nyekundu, nyekundu kama ya mtu anayekamua zabibu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Lakini mbona nguo yako ni nyekundu, nyekundu kama ya mtu anayekamua zabibu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, Na nguo zako kama za mtu akanyagaye zabibu?

Tazama sura Nakili




Isaya 63:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Atafunga punda wake katika mzabibu, Na mwanapunda wake katika mzabibu mzuri. Amefua nguo zake kwa mvinyo, Na mavazi yake kwa damu ya zabibu.


Akajivika haki kama deraya kifuani, na chapeo cha wokovu kichwani pake, akajivika mavazi ya kisasi yawe mavazi yake, naye alivikwa wivu kama joho.


Ni nani huyu atokaye Edomu, Atokaye Bosra akiwa na mavazi yenye madoa mekundu? Huyu aliye na nguo za fahari, Anayekwenda katika ukuu wa uweza wake? Ndimi nisemaye kwa haki, Niliye hodari wa kuokoa.


Basi, kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, nitakuweka tayari kwa damu, na damu itakufuatia; ikiwa hukuchukia damu, basi damu itakufuatia.


Malaika yule akautupa mundu wake hata nchi, akauchuma mzabibu wa nchi, akazitupa zabibu katika shinikizo hilo kubwa la ghadhabu ya Mungu.


Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.


Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili kwa upanga huo awapige mataifa. Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, naye anakanyaga shinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu Mwenyezi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo