Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 62:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nawe utakuwa taji la uzuri katika mkono wa BWANA, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Utakuwa taji zuri mkononi mwa Mwenyezi-Mungu; kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Utakuwa taji la fahari mkononi mwa Mwenyezi Mungu, taji la kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa bwana, taji ya kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nawe utakuwa taji la uzuri katika mkono wa BWANA, na kilemba cha kifalme mkononi mwa Mungu wako.

Tazama sura Nakili




Isaya 62:3
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika ningeyachukua mabegani; Ningejifunga mfano wa kilemba.


Katika siku ile BWANA wa majeshi atakuwa ni taji la fahari, na kilemba cha uzuri, kwa mabaki ya watu wake.


Na BWANA, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo, Kama kundi la watu wake; Kwa maana watakuwa kama vito vya taji, Vikimetameta juu ya nchi yake.


Atukuzwe Mungu juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.


Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji la kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi, mbele za Bwana wetu Yesu, wakati wa kuja kwake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo